Publication:
DHIMA YA MIANZO NA MIISHO KATIKA NATHARI ZA WATOTO: MIFANO KUTOKA NATHARI ZA KISWAHILI NCHINI TANZANIA

Authors

Lyimo, B.

Abstract

Fasihi ya watoto ni fasihi ambayo walengwa wake wakuu ni watoto. Fasihi hii ina umuhimu katika jamii kwa sababu ina dhima mbalimbali. Pamoja na umuhimu wa fasihi ya watoto katika jamii, fasihi hii ilichelewa kutambuliwa katika nchi za Afrika na duniani kwa ujumla ikilinganishwa na fasihi nyingine. Matokeo yake ni kwamba, fasihi hii imekuwa nyuma sana katika nyanja mbalimbali hasa za kiutafiti na kiufundishaji.

Cite this Publication
Lyimo, B. (2015). DHIMA YA MIANZO NA MIISHO KATIKA NATHARI ZA WATOTO: MIFANO KUTOKA NATHARI ZA KISWAHILI NCHINI TANZANIA. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/85

Usage Statistics

Share this Publication

  • Total Views 10
  • Total Downloads 72

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections