Publication:
KISWAHILI NA UTAFITI

Abstract

Kiswahili ni miongoni mwa lugha maarufu ulimwenguni kutokana na matumizi yake mapana. Aidha, kimepata hadhi ya kuwa lugha ya kimataifa kutokana na ukwasi wake kimsamiati, kiistilahi na kimaandishi. Ongezeko la wataalamu na watafiti wa lugha hii hasa katika vyuo vikuu limechangia hali hii pakubwa.

Cite this Publication
Wafula, M. N. (2015). KISWAHILI NA UTAFITI. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/97

Usage Statistics

Share this Publication

  • Total Views 55
  • Total Downloads 131

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections