Publication:
HALI YA LUGHA INAYOTUMIWA KATIKA MATANGAZO YA KIBIASHARA NCHINI KENYA

Abstract

Makala hii itatalii matangazo mbalimbali ya kibiashara yanayotumia lugha ya Kiswahili katika vyombo vya habari, magazeti na mabango ya kibiashara nchini Kenya. Baadhi ya masuala yatakayochunguzwa ni pamoja na usanifu wa lugha inayotumiwa, hadhira inayolengwa na lengo hasa la kuwa na mawasiliano katika matangazo haya.

Cite this Publication
Ibala, H. K. (2015). HALI YA LUGHA INAYOTUMIWA KATIKA MATANGAZO YA KIBIASHARA NCHINI KENYA. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/92

Usage Statistics

  • Total Views 7
  • Total Downloads 32

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections