Publication: LUGHA YA KISWAHILI KATIKA TAMASHA ZA DRAMA NCHINI KENYA: KUSTAWI AU KUDUMAA?
Total Views 1
total viewsTotal Downloads 21
total downloadsDate
2015-10
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Mount Kenya University
Cite this Item
Abstract
Tamasha za drama ambazo hufanywa kila mwaka nchini Kenya ni mojawapo ya nyenzo
zilizowekwa na wizara ya Elimu nchini kutoa elimu kwa vijana. Tamasha hizi ambazo
zinajumuisha wanafuzi kutoka shule za malezi, msingi, sekondari, vyuo anuai na vyuo vikuu
hufanyika kila mwaka.
Description
Keywords
TAMASHA, DRAMA, NCHI, KENYA, KUSTAWI, KUDUMAA