Publication:
LUGHA YA KISWAHILI KATIKA TAMASHA ZA DRAMA NCHINI KENYA: KUSTAWI AU KUDUMAA?

Abstract

Tamasha za drama ambazo hufanywa kila mwaka nchini Kenya ni mojawapo ya nyenzo zilizowekwa na wizara ya Elimu nchini kutoa elimu kwa vijana. Tamasha hizi ambazo zinajumuisha wanafuzi kutoka shule za malezi, msingi, sekondari, vyuo anuai na vyuo vikuu hufanyika kila mwaka.

Cite this Publication
Waititu, F. G. (2015). LUGHA YA KISWAHILI KATIKA TAMASHA ZA DRAMA NCHINI KENYA: KUSTAWI AU KUDUMAA? Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/103

Usage Statistics

  • Total Views 3
  • Total Downloads 26

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections