Publication: KISWAHILI NA MAENDELEO YA KIJAMII
Authors
Muhidin, Zahor MwalimAbstract
Wazanzibari hupenda kuchanganya lugha. Mara nyingi, wao huchanganya lugha ya Kiswahili, Kiingereza na Kiarabu. Mtindo huu unaweza kuthibitishwa kihistoria kutokana na athari ya mchanganyiko wa Waswahili wa Zanzibar na wageni wa Kiarabu kabla, wakati na baada ya ukoloni; pamoja na majilio ya wageni wa kizungu wakati na baada ya ukoloni (Broomfield,. 1931; Krapf, 1878; na Topan, 1992).
Cite this Publication
Keywords
Usage Statistics
Files
- Total Views 2
- Total Downloads 64
Date
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Mount Kenya University