Publication: NADHARIA YA MWINGILIANOTANZU KATIKA UHAKIKI WA FASIHI SIMULIZI
dc.contributor.author | Wanjala, F. C. N. S. | |
dc.date.accessioned | 2015-11-16T17:21:20Z | |
dc.date.available | 2015-11-16T17:21:20Z | |
dc.date.issued | 2015-10 | |
dc.description.abstract | Nadharia ya Mwingilianotanzu inashikilia kuwa, kazi yoyote ya fasihi simulizi hujengwa kwa kuvunja mipaka ya kitanzu ili kuibuka na kazi mahuluti. Hii ina maana kuwa, hakuna kazi ya fasihi simulizi ambayo inaweza kukamilika bila kuchanganyikana na kazi nyinginezo za fasihi. Malengo makuu ya nadharia hii ni kupinga uchambuzi wa utanzu mmoja mmoja wa fasihi simulizi kana kwamba upo utanzu unaoweza kujisimamia kiutendakazi bila kuingiliana na tanzu zingine. | en_US |
dc.identifier.uri | http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/80 | |
dc.language.iso | en | en_US |
dc.publisher | Mount Kenya Univeristy | en_US |
dc.subject | nadharia, mwingilianotanzu, mifanyiko ya kitanzu | en_US |
dc.title | NADHARIA YA MWINGILIANOTANZU KATIKA UHAKIKI WA FASIHI SIMULIZI | en_US |
dc.type | Article | en_US |
dspace.entity.type | Publication |
Files
Original bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- 1 Lahaja hii hujulikana pia kwa jina la Kikae.pdf
- Size:
- 40.68 KB
- Format:
- Adobe Portable Document Format
- Description:
- Abstract
License bundle
1 - 1 of 1
Loading...
- Name:
- license.txt
- Size:
- 1.71 KB
- Format:
- Item-specific license agreed upon to submission
- Description: