Publication:
KISWAHILI NA MAENDELEO YA DINI

Total Views 18
total views
Total Downloads 155
total downloads
Date
2015-10
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Mount Kenya University
Research Projects
Organizational Units
Journal Issue
Cite this Item
Kevogo, A. U. (2015). KISWAHILI NA MAENDELEO YA DINI. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/95
Abstract
Kuna uhusiano baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha. Kuenea kwa dhehebu la Kikatoliki na madhehubu mengine ya Kiprotestanti kulifanikisha kuenea kwa Kispanyola na Kiingereza katika maeneo ya Marekani Kusini, Afrika na hata Asia. Uhusiano wa lugha na dini hujitokeza wazi kiisimu ikizingatiwa kwamba lugha ni nyenzo ya kueneza dini. Aidha, kidini ni wazi kuwa asili ya lugha na dini aghalabu huchukuliwa kuwa na uhusiano ndiposa dini kuu za ulimwengu huhusishwa na lugha mahsusi za ulimwengu. Kuenea huku kunathibitisha uhusiano uliopo baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha.
Description
Keywords
MICHAKATO MIPYA, DINI, MUSTAKABALI, MAENEZI, KISWAHILI
Collections
Usage Statistics