Publication: KISWAHILI NA MAENDELEO YA DINI
Total Views 18
total viewsTotal Downloads 155
total downloadsDate
2015-10
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Mount Kenya University
Cite this Item
Abstract
Kuna uhusiano baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha. Kuenea kwa dhehebu la
Kikatoliki na madhehubu mengine ya Kiprotestanti kulifanikisha kuenea kwa Kispanyola na
Kiingereza katika maeneo ya Marekani Kusini, Afrika na hata Asia. Uhusiano wa lugha na
dini hujitokeza wazi kiisimu ikizingatiwa kwamba lugha ni nyenzo ya kueneza dini. Aidha,
kidini ni wazi kuwa asili ya lugha na dini aghalabu huchukuliwa kuwa na uhusiano ndiposa
dini kuu za ulimwengu huhusishwa na lugha mahsusi za ulimwengu. Kuenea huku
kunathibitisha uhusiano uliopo baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha.
Description
Keywords
MICHAKATO MIPYA, DINI, MUSTAKABALI, MAENEZI, KISWAHILI