Publication:
KISWAHILI NA MAENDELEO YA DINI

Abstract

Kuna uhusiano baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha. Kuenea kwa dhehebu la Kikatoliki na madhehubu mengine ya Kiprotestanti kulifanikisha kuenea kwa Kispanyola na Kiingereza katika maeneo ya Marekani Kusini, Afrika na hata Asia. Uhusiano wa lugha na dini hujitokeza wazi kiisimu ikizingatiwa kwamba lugha ni nyenzo ya kueneza dini. Aidha, kidini ni wazi kuwa asili ya lugha na dini aghalabu huchukuliwa kuwa na uhusiano ndiposa dini kuu za ulimwengu huhusishwa na lugha mahsusi za ulimwengu. Kuenea huku kunathibitisha uhusiano uliopo baina ya kuenea kwa dini na kuenea kwa lugha.

Cite this Publication
Kevogo, A. U. (2015). KISWAHILI NA MAENDELEO YA DINI. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/95

Usage Statistics

Share this Publication

  • Total Views 30
  • Total Downloads 208

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections