Publication:
FASIHI YA WATOTO

Abstract

Riwaya ya kihistoria katika fasihi ya watoto ni utanzu unaopendwa na watoto, wazazi na walimu huko Ulaya na Marekani. Utanzu huo unapendwa hasa darasani kwa sababu umekuwa nyenzo muhimu katika kufundishia watoto masomo mbalimbali kama Fasihi, Historia, Jiografia, Lugha, Uraia, na kadhalika. Pamoja na kupendwa kote huko, riwaya ya kihistoria ya watoto katika fasihi ya Kiswahili ni fani ngeni. Ugeni huu unaifanya riwaya hii kuwa nyuma kiutunzi na kiutafiti.

Cite this Publication
Bakize, L. H. (2015). FASIHI YA WATOTO. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/90

Usage Statistics

Share this Publication

  • Total Views 143
  • Total Downloads 343

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections