Publication:
LEKSIKOGRAFIA YA NADHARIA NA KISWAHILI

Abstract

Lugha ya Kiswahili inadhihirisha utajiri mkubwa ambao haujafumbatiwa na wanaisimu kikamilifu. Utajiri wenyewe unadhihirika kutokana na wingi wa lahaja zake. Hii ina maana kwamba ikiwa kutaandikwa kamusi kamilifu ya Kiswahili, itakuwa kanzi kubwa na toshelezi, kinyume na kamusi zilizopo.

Cite this Publication
Nyangeri, N. A. (2015). LEKSIKOGRAFIA YA NADHARIA NA KISWAHILI. Mount Kenya University. http://erepository.mku.ac.ke/handle/123456789/100

Usage Statistics

Share this Publication

  • Total Views 25
  • Total Downloads 156

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Mount Kenya University

Collections